Friday, October 26, 2012

KUKOSA HISIA WAKATI WA TENDO LA NDOA.......MSHAURIINI JAMAN

             hello guys,mambo zenu vp?i hop siku ilikua poa

                 kabisa....from inbox ameomba jina lake nilihifadhi

            ''hellow guys i am twenty 24 years old i am a gal

                 nina tatizo moja nikiwa na mpenzi wangu sina 

                hisia za mapenzi  nataman sana na mimi niwe 

                   na hisia kama rafiki zangu wanavohadithia 

             jinsi wanafurahia ila mimi nafanyaga ili tu kumridhisha

           mpenzi wangu na pia sipati maumivu yoyote naskia 

             kawaida tu naombeni mnishauri niganyeje ili na mimi

            kufurahia kama watu wengine...xoxo""
              
             haya wataalam naomben mumshauri huyu dada 
  
             amekua mfatiliaji mkubwa wa blog hiii
               
                                        xoxo...  

1 comment:

  1. Kuna dietary supplement pills zinatengenezwa kutoka kwenye mizizi ya maca (maca roots). huongeza libido yaani hamu ya kufanya tendo pia zinakufanya ujisikie vizuri unapofanya tendo. hazina madhara kwani ni natural product as I said zinatokana na mizizi. apige simu au kutuma sms au whatsapp kwenda 0756 537830 kwamaelekezo zaidi na jinsi ya kuzipata. xoxo

    ReplyDelete